Madaktari Bingwa wa Moyo wa Taasisi ya Jakaya Kikwete (JKCI) wakishirikiana na Madaktari wa Afrika wa Nchini Marekani wakitoa huduma ya kuzibua mishipa ya moyo iliyoziba bila kupasua kifua (Catheterizazatin). Dkt. Peter Kisenge (kulia) na Dkt. Peter O'brien.
Madaktari Bingwa wa Moyo wa Taasisi ya Jakaya Kikwete (JKCI) wakishirikiana na Madaktari wa Afrika wa Nchini Marekani wakitoa huduma ya kuzibua mishipa ya moyo iliyoziba bila kupasua kifua (Catheterizazatin).
Comments
Post a Comment