WATOTO WALIOFIA NDANI YA GARI WAAGWA DAR

 Baadhi ya waombolezaji wakipita kanisani wakati wa misa ya kuwaaga watoto wa Maofisa wa Jeshi la Magereza waliopoteza maisha baada ya kukosa hewa wakiwa ndani ya gari Jijini Dar es Salaam.
 Waumini wakiwa kanisani wakati wa ibada ya kuwaaga watoto hao kabla ya safari la kuelekea Mkoani Rukwa kwa mazishi
 Jeneza lenye mwili wa marehemu likiombewa na viongozi wa kanisa, Jijini Dar es Salaam
 Baadhi ya wanafunzi wakiwa kanisani wakati wa ibada ya kuuaga mwili wa mwanafunzi mwenzao
Padri akiombea jeneza lenye mwili wa mtoto aliyepoteza maisha kwa kukosa hewa ndani ya gari wakati wa ibada maalumu ya kumuombea, Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOPITA

HEKAYA ZA ABUNUWASI

HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79

PATA HADITHI ZA UPELELEZI ZA KUSISIMUA

TUTARUDI NA ROHO ZETU?

Vifaa vya Kijeshi vilivyotia fora maonesho ya miaka 50 ya Uhuru

HOFU